Monday, April 12, 2010

Ebwanaa eeee!

Jamani, sijui ni mzuka au karaha.. Maana Unguja siku hizi taarabu haliwi tamu mpaka watu wacheze hivi. Nimefuatilia maonesho mengi kisiwani hapa yanayofanyika pale Ngome Kongwe na Ukumbi wa Mafunzo na watu hurusha roho kwa namna hii!!!!!!!!

No comments:

Post a Comment