Friday, June 4, 2010

MSIBA! MSIBA! MSIBA!

Ina lil laahi wa inna ilayhi rajjoun..Habari zilizotufikia alfajiri na mapema ni kwamba Bwana Yusuf Alley (Maarufu Bwana Chuchu) amefariki dunia!  Alikuwa ni shujaa..Mwana Harakati, Mjasiriamali na Mtu wa watu. Mwili unasafirishwa leo kutoka Nairobi alikofia wakati anahangaika kupigania maisha yake kwenda nyumbani kwake Unguja. Mazishi yanatarajiwa kufanyika leo hivi huko Unguja. Taarifa zaidi baadae. Allah aiweke vema roho yake mahala pema peponi Amina!