Tuesday, May 4, 2010

Dar Mpaka Moro

Jamani Morogoro kuzuri.. hali ya hewa na mandhari ya kuvutia..Unaona ukungu milimani? Natamani kila weekend nitembelee sehemu hii!

Greda ikitoa msaada!

Umeona hapo chini ya barabara? Ukinasa hadi greda zije kukunasua!

Kasheshe la Usafiri mikoa ya Kusini

Mdau Exavier kutoka Arusha amenitumia picha hizi alizozipiga karibuni zinazoonyesha kipande ambacho barabara kwenda mikoa ya Kusini (Lindi na Mtwara) kinavyosumbua. Magari mengi hunasa na kusababusha usumbufu kwa wasafiri.