Tuesday, April 6, 2010

Bwa-Chuchu na Forodhani

Unamkumbuka Bwana Chuchu? anaonekana kwa mbali maeneo ya Forodhani akiwa katika jitihada za kuongeza shavu. Bwana Yusuf Alley (Maarufu Bwana Chuchu) ni miongoni mwa vijana wajasiriamali walio mstari wa mbele katika kujenga nchi. Yeye ni mmiliki na Mkurugenzi wa kituo maarufu cha redio cha Chuchu fm (90.9fm) mjini Unguja, Taff Promotion (wataalam wa Burudani -zamani Inachuchu) na ana caffee zake pale Forodhani zinazotoa huduma safi za chakula na vinywaji. Tunakutakia kila la kheri kwa juhudi zako ambazo zinaleta tija kwako, kwa familia yako, ajira kwa vijana, jamii na Taifa kwa ujumla. Karibu Urojo...

No comments:

Post a Comment