Thursday, March 25, 2010

Flower of the Day!

Hili ndilo tembo (pombe ya Mnazi)

Hapa ndio halijatiwa maji kabisa halafu ukilionja linakuwa taaamu! wakimaliza hapa linatiwa maji kidogo ili lichache na kuwa pombe! KARIBU.

Mtambo wa kutengeneza gongo

Wadau mmeona? picha imepigwa kwa kutumia iPhone lakini kwa mbali kidogo kutoka kwa mdau wa Masasi, watu hulazimika kupika na kuuza gongo na kipato huwasaidia kwa mahitaji ya kila siku na kusomeshea watoto!!!!!

Wednesday, March 24, 2010

NINAWAOMBA RADHI WATU WOTE WANAOITEMBELEA BLOG YANGU KUWA KARIBU MIEZI MIWILI SIKUWA HEWANI. HII NI KUTOKANA NA SABABU AMBAZO ZILIKUWA NJE YA UWEZO WANGU, NILIKUWA LIKIZO MAENEO AMBAKO HAKUNA INTANETI. LAKINI NILIPIGIGA PICHA NYINGI SANA SAFARINI ILA NIKAPATA BAHATI MBAYA YA MEMORY CARD YA KAMERA KUHARIBIKA NA KUSHINDWA KUPATA PICHA ZOTE. NINAJITAHIDI KUBORESHA ILI TUWE PAMOJA. KARIBUNI!