![](http://2.bp.blogspot.com/_FY-hxBDo4D8/S2FWz5APQ8I/AAAAAAAAAK0/L-7OOUnyqXc/S692/OEA+Advert.jpg)
Saturday, January 30, 2010
Tuesday, January 26, 2010
Sunday, January 24, 2010
Ajali makutano ya Barabara ya Kawawa na Nyerere asubuhi hii!
Ajali imetokea pale makutano ya Barabara ya Nyerere na Kawawa asubuhi hii baada ya lori hili kufeli likikata kona na kupinduka. Lakini hakuna aliyekufa, ila limesababisha bonge la foleni!
African Stars Band (Twanga Pepeta) Ndani ya Bonanza J'Pili
Twanga wakikamua kwenye viwanja vya wastaarabu vya Leaders Club kwenye bonanza linalodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro
Mama Dotinata ndani ya Leaders Club
Mama Dotinata na pacha wake kama kawaida alikuwepo pia viwanjani hapo akipata burudani ya vijana wa Twanga Pepeta.
Ona hinye onaaaa...Ebwanaaaeeee! Ebwana ingawa sijaziweka hizo picha za hinye lakini Leaders Club siku za jumapili kwenye Bonanza linaloandaliwa na bia ya Kili si mchezo! Maana kunajaa umati wa watu, flowers za kumwaga na hivyo vivazi ndio usiombe! pichani niko na Dj Shorty na Dorica Mshindi wa Tuzo ya Zanzibar Music Award mwaka jana tukifuatilia kila kinachoendelea viwanjani hapo.
Friday, January 22, 2010
Wanenguaji wa Fm Academia
Wanenguaji machachari wa Bendi ya Wazee wa Mujini, Wazee wa Ngwasuma, Wazee wa Bling Bling wakiwa kazini. Jamaa wanakamua kinoma. BIG UP!
Thursday, January 21, 2010
Wednesday, January 20, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)