Sunday, January 24, 2010

Ajali makutano ya Barabara ya Kawawa na Nyerere asubuhi hii!


Ajali imetokea pale makutano ya Barabara ya Nyerere na Kawawa asubuhi hii baada ya lori hili kufeli likikata kona na kupinduka. Lakini hakuna aliyekufa, ila limesababisha bonge la foleni!

No comments:

Post a Comment