Sunday, January 24, 2010



Ona hinye onaaaa...Ebwanaaaeeee! Ebwana ingawa sijaziweka hizo picha za hinye lakini Leaders Club siku za jumapili kwenye Bonanza linaloandaliwa na bia ya Kili si mchezo! Maana kunajaa umati wa watu, flowers za kumwaga na hivyo vivazi ndio usiombe! pichani niko na Dj Shorty na Dorica Mshindi wa Tuzo ya Zanzibar Music Award mwaka jana tukifuatilia kila kinachoendelea viwanjani hapo.

No comments:

Post a Comment