Tuesday, May 4, 2010

Kasheshe la Usafiri mikoa ya Kusini

Mdau Exavier kutoka Arusha amenitumia picha hizi alizozipiga karibuni zinazoonyesha kipande ambacho barabara kwenda mikoa ya Kusini (Lindi na Mtwara) kinavyosumbua. Magari mengi hunasa na kusababusha usumbufu kwa wasafiri.

No comments:

Post a Comment