![](http://2.bp.blogspot.com/_FY-hxBDo4D8/S2FWz5APQ8I/AAAAAAAAAK0/L-7OOUnyqXc/S692/OEA+Advert.jpg)
Tuesday, May 4, 2010
Dar Mpaka Moro
Jamani Morogoro kuzuri.. hali ya hewa na mandhari ya kuvutia..Unaona ukungu milimani? Natamani kila weekend nitembelee sehemu hii!
Kasheshe la Usafiri mikoa ya Kusini
Mdau Exavier kutoka Arusha amenitumia picha hizi alizozipiga karibuni zinazoonyesha kipande ambacho barabara kwenda mikoa ya Kusini (Lindi na Mtwara) kinavyosumbua. Magari mengi hunasa na kusababusha usumbufu kwa wasafiri.
Subscribe to:
Posts (Atom)