
Monday, March 29, 2010
Thursday, March 25, 2010
Hili ndilo tembo (pombe ya Mnazi)
Mtambo wa kutengeneza gongo
Wadau mmeona? picha imepigwa kwa kutumia iPhone lakini kwa mbali kidogo kutoka kwa mdau wa Masasi, watu hulazimika kupika na kuuza gongo na kipato huwasaidia kwa mahitaji ya kila siku na kusomeshea watoto!!!!!
Wednesday, March 24, 2010
NINAWAOMBA RADHI WATU WOTE WANAOITEMBELEA BLOG YANGU KUWA KARIBU MIEZI MIWILI SIKUWA HEWANI. HII NI KUTOKANA NA SABABU AMBAZO ZILIKUWA NJE YA UWEZO WANGU, NILIKUWA LIKIZO MAENEO AMBAKO HAKUNA INTANETI. LAKINI NILIPIGIGA PICHA NYINGI SANA SAFARINI ILA NIKAPATA BAHATI MBAYA YA MEMORY CARD YA KAMERA KUHARIBIKA NA KUSHINDWA KUPATA PICHA ZOTE. NINAJITAHIDI KUBORESHA ILI TUWE PAMOJA. KARIBUNI!
Subscribe to:
Posts (Atom)